What's newtag icon
Our latest AI innovations will deliver tomorrow's market todayDiscover howbanner icon

Análisis de la app Qurani Quran Tukufu in Swahili para 6 de diciembre

Qurani Quran Tukufu in Swahili

Qurani Quran Tukufu in Swahili

  • Holy Quran Apps
  • Google Play Store
  • Gratis
  • Libros y consulta
Qurani (Qur'an) (Quran katika Kiswahili) Tarjuma ya Qur'ani Tukufu Kwa Kiswahili Translation of The Holy Qur'an to Swahili Language Qur'an (kwa Kiarabu: القرآن) ni kitabu kitukufu cha Uislamu. Qur'an inatazamiwa na Waislamu kama "Neno la Allah (Mwenyezi Mungu)". Kitabu hiki kwao ni tofauti kabisa na maandiko ya vitabu vya dini nyingine kwa maana hicho kinaaminika kwamba kimeandikwa moja kwa moja na Mwenyezi Mungu, kupitia mtume wake wa mwisho, Muhammad. Lugha na tafsiri Imeandikwa na kusomwa kwa lugha ya Kiarabu pekee kwa zaidi ya miaka 1,400. Kadiri ya Qurani (42:8), Mungu alimuambia Muhammad: "Na namna hivi tumekufunulia Qurani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Makka na walio pembeni mwake" Lakini, kwa vile leo Waislamu walio wengi ulimwenguni hawajui Kiarabu, maana halisi ya Qur'an hutolewa kwa lugha nyingine, hivyo kupelekea wasomaji kuelewa vyema yale maneno ya Kiarabu kwenye Qur'an yana maana gani. Vitabu hivyo ni kama kamusi kwa ajili ya Qur'an - hawavisomi hivi kama moja ya sehemu ya Quran tukufu na Waislam, ili kuwa badala ya Quran ya Kiarabu. Waislamu wengi wanaamini kwamba tafsiri ile siyo ya Qur'an tukufu na wala siyo ya kweli; ni kopi ya Kiarabu tu iliyotolewa kwenye Qur'an ya kweli. Waislamu wanaamini kwamba Qur'an tukufu mtume Muhammad alipewa na malaika Jibrīl kwenye pango la mlima Hira, kwa kipindi cha zaidi ya miaka ishirini na tatu hadi mauti wake ilipomfikia. Qur'an tukufu haikuwa kitabu cha maandiko wakati wa uhai wa mtume Muhammad; iliwekwa kwa mawasiliano ya kimdomo tu. Bimaana, watu walihifadhi kichwani. Mtume labda hakuwa anajua kusoma wala kuandika, lakini kwa mujibu wa Waislamu, swahaba wake Abu Bekr alikuwa akiandika maandiko yale juu ya kitu fulani wakati huo mtume Muhammad yu hai. Pale Abu Bekr alipokuja kuwa khalifa, ameileta Qur'an na kuwa kitabu kitakatifu. Uthman, ambaye ni khalifa wa tatu, ameondoa vipengele ambavyo vilikuwa havihusiani na Qur'an tukufu. Elementi, Sura, Mistari, Aya Kuna sehemu 30 katika Qur'an, ambayo inafanya kuwa na sura 114. Kila sura ina namba tofauti ya mistari. Kwa mujibu wa mafunzo ya Kiislam, sura 86 kati ya hizi zimeshuka mjini Makka, sura 24 kati ya hizi zimeshuka mjini Madina. Miongoni mwa sura zilizoshushwa mjini Medina ni pamoja na Al-Baqara, Al Imran, Al-Anfal, Al-Ahzab, Al-Ma'ida, An-Nisa, Al-Mumtahina, Az-Zalzala, Al-Hadid, Muhammad , Ar-Ra'd, Ar-Rahman, At-Talaq, Al-Bayyina, Al-Hashr, An-Nasr, An-Nur, Al-Hajj, Al-Munafiqun, Al-Mujadila, Al-Hujraat, At-Tahrim, At-Taghabun, Al-Jumua, As-Saff, Al-Fath, At-Tawba, Al-Insan. Mahusiano baina Qur'an na Biblia Katika Qu'ran tukufu, inasomwa kwamba Wayahudi na Wakristo pia huamini Mungu wa kweli. Dini hizi pamoja na Uislamu huitwa za Abrahamu kwa sababu ya mahusiano haya. Kuna baadhi ya kurasa za Qu'ran zinazoelezea habari za mambo ya watu wa katika Biblia. Kwa mfano watu wa katika Biblia waliotajwa kwenye Qu'ran ni pamoja na Adamu, Nuhu, Abraham, Lutu, Ismaili, Yakobo, Yosefu, Haruni, Musa, mfalme Daudi, Solomoni, Elisha, Yona, Yobu, Zakaria, Yohane Mbatizaji, Bikira Maria na Yesu. Hata hivyo, kuna tofauti za muhimu kabisa baina ya Uislamu na toleo la Biblia katika kuelezea habari za aina moja. Kwa mfano, Qu'ran tukufu inaelezea kwamba Yesu Kristo si Mwana wa Mungu, kama jinsi Wakristo wanavyoamini; kwa Waislamu, alikuwa nabii tu, anayeheshimiwa kwa jina la Isa bin Mariamu. Uislamu unafundisha kwamba haya yanatokea kwa sababu maandiko ya awali ya Biblia yamepotea na hivyo kuna baadhi ya watu wameyabadilisha. Lakini nje ya Qu'ran hakuna uthibitisho wa fundisho hilo.
Qurani Quran Tukufu in Swahili

Clasificación del uso de Qurani Quran Tukufu in Swahili

El rango de uso se basa en el algoritmo de Similarweb que calcula las instalaciones actuales y los usuarios activos durante un periodo de 28 días.

Todas las categorías en
Estados Unidos--
Libros y consulta en
Estados Unidos--

Usuarios activos diarios

Analiza los patrones de uso de los usuarios de Qurani Quran Tukufu in Swahili viendo las descargas de Qurani Quran Tukufu in Swahili y los usuarios activos diarios a lo largo del tiempo.

Usuarios

Analiza los patrones de uso de los usuarios de Qurani Quran Tukufu in Swahili viendo las descargas de Qurani Quran Tukufu in Swahili y los usuarios activos diarios a lo largo del tiempo.

Unlock daily active users
octnov6ic

Estadísticas de clasificación de Qurani Quran Tukufu in Swahili a lo largo del tiempo

Rango de uso de Similarweb & Rango de Google Play Store para Qurani Quran Tukufu in Swahili

Clasificación

No hay datos disponibles

Clasificación por país Qurani Quran Tukufu in Swahili

Países en los que Qurani Quran Tukufu in Swahili tiene la clasificación más alta en sus categorías principales


Intereses de los usuarios & Top categorias

Principales categorías y aplicaciones utilizadas por los usuarios de Qurani Quran Tukufu in Swahili.

No hay datos para mostrar

Principales competidores & aplicaciones alternativas

Aplicaciones con una alta probabilidad de ser utilizadas por los mismos usuarios, desde la misma tienda.

Shia Toolkit

Shia Toolkit

Muhammed Raza Merchant

Kalaam - Learn Quranic Arabic

Kalaam - Learn Quranic Arabic

Mpyre Software Inc.

Al Quran (Tafsir & by Word)

Al Quran (Tafsir & by Word)

Greentech Apps Foundation

Habib | Shia Ai Quran Azan Dua

Habib | Shia Ai Quran Azan Dua

Habib app Group

Qurani Quran Tukufu in Swahili VS.

6iciembre d, 2025