Newtag icon
Top Black Friday 2025 brands announced! What were the hottest products and categories?Download the report now 👉banner icon

Analyse de l'application Biblia Takatifu-Swahili Bible pour le 9 décembre

Biblia Takatifu-Swahili Bible

Biblia Takatifu-Swahili Bible

  • Oleg Shukalovich
  • App Store Apple
  • Gratuit
  • Livres
Biblia Takatifu ya Kiswahili (Swahili Bible) with King James Bible English Version Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu". Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale". Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake. Agano la Kale Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu. Suala hilo liliondolewa kuanzia mwaka 80 BK wataalamu wa Wayahudi wa huko Jabneh (Jamnia) walipochukua msimamo mkali dhidi ya wafuasi wa Yesu. Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki. Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi. Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni. Agano Jipya Kuna vitabu 27 vya Agano Jipya. Vinne vya kwanza ni Injili nne zinazoleta habari za maisha, matendo na maneno ya Yesu. Vingine ni Matendo ya Mitume, Nyaraka za Mitume, hasa Mtume Paulo, na Ufunuo wa Yohane.
Biblia Takatifu-Swahili Bible

Classement dans le store

Le classement des stores est basé sur plusieurs paramètres définis par Google et Apple.

Toutes les catégories dans
États-Unis--
Livres dans
États-Unis--
Créez un compte pour voir les téléchargements mensuels moyensContactez-nous

Statistiques de classement dans le temps pour Biblia Takatifu-Swahili Bible

Classement d'utilisation et classement Apple App Store de Similarweb pour Biblia Takatifu-Swahili Bible

Classement

Aucune donnée disponible

Ranking par pays pour Biblia Takatifu-Swahili Bible

Pays dans lesquels Biblia Takatifu-Swahili Bible est le mieux classé dans ses principales catégories


Principaux concurrents & apps alternatives

Applications ayant une forte probabilité d'être utilisées par les mêmes utilisateurs, à partir du même store.

Biblia Takatifu ya Kiswahili

Biblia Takatifu ya Kiswahili

Dzianis Kaniushyk

Biblia Takatifu in Swahili

Biblia Takatifu in Swahili

RAVINDHIRAN SUMITHRA

Nyimbo Za Kristo - SDA Hymns

Nyimbo Za Kristo - SDA Hymns

David Maraba

Tenzi za Rohoni (MPYA)

Tenzi za Rohoni (MPYA)

George Raphael

Biblia Takatifu-Swahili Bible VS.

9écembre d, 2025