What's newtag icon
Our latest AI innovations will deliver tomorrow's market todayDiscover howbanner icon

12月7日的Biblia Takatifu-Swahili Bible应用程序分析

Biblia Takatifu-Swahili Bible

Biblia Takatifu-Swahili Bible

  • Oleg Shukalovich
  • Apple 应用商店
  • 免费
  • 图书
Biblia Takatifu ya Kiswahili (Swahili Bible) with King James Bible English Version Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu". Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale". Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake. Agano la Kale Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu. Suala hilo liliondolewa kuanzia mwaka 80 BK wataalamu wa Wayahudi wa huko Jabneh (Jamnia) walipochukua msimamo mkali dhidi ya wafuasi wa Yesu. Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki. Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi. Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni. Agano Jipya Kuna vitabu 27 vya Agano Jipya. Vinne vya kwanza ni Injili nne zinazoleta habari za maisha, matendo na maneno ya Yesu. Vingine ni Matendo ya Mitume, Nyaraka za Mitume, hasa Mtume Paulo, na Ufunuo wa Yohane.
Biblia Takatifu-Swahili Bible

商店排名

商店排名基于 Google 和 Apple 设置的多个参数。

所有品类在
美国--
图书在
美国--
创建账号以查看平均每月下载量联系我们

动态Biblia Takatifu-Swahili Bible排名统计

Biblia Takatifu-Swahili Bible的 Similarweb 使用排名和Apple 应用商店排名

排名

没有可用的数据

Biblia Takatifu-Swahili Bible按国家/地区排名

Biblia Takatifu-Swahili Bible在主要类别中排名最高的县


顶级竞争对手和替代应用程序

同一商店内很有可能被同一批用户使用的应用程序。

Biblia Takatifu ya Kiswahili

Biblia Takatifu ya Kiswahili

Dzianis Kaniushyk

Biblia Takatifu in Swahili

Biblia Takatifu in Swahili

RAVINDHIRAN SUMITHRA

Nyimbo Za Kristo - SDA Hymns

Nyimbo Za Kristo - SDA Hymns

David Maraba

Tenzi za Rohoni (MPYA)

Tenzi za Rohoni (MPYA)

George Raphael

Biblia Takatifu-Swahili Bible VS.

十二月 7, 2025